
Mwanamuziki Akothee amesafiri hadi nchini Ufaransa kumtembelea binti wake Prudence Otieno ambaye ni mwanafunzi katika chuo kimoja kikuu mjini Paris
Hii ni baada ya mwanamuziki huyo kufichua kuwa hajawaona wanawe kwa zaidi ya miezi mitano kwa ajili ya kuwa na kazi nyingi na kushughulikia biashara zake.
Habari Nyingine: Nyota wa Man City Sergio Aguero ahusika katika ajali akielekea mazoezini
Habari Nyingine: Mamilioni ya kondomu yamwagwa Tanzania baada ya uhaba kushuhudiwa
Hata hivyo, Akothee mwenye watoto 5 alikuwa ameahidi kuwa atawatembelea kila mmoja wao ikizingatiwa wanaishi katika sehemu tofauti.
Akothee na bintiye walikuwa na wakati mzuri kwenye hoteli moja ya kifahari mjini Paris kulingana na video aloichapisha mitandaoni.
Baada ya kujivinjari vilivyo na mwanawe, mwanamuziki huyo anatarajiwa kufanya onyesho kubwa nchini Marekani.
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia news@tuko.co.ke au WhatsApp: 0732482690.
Tazama habari zaidi kutoka TUKO.co.ke
Subscribe to watch new videosChanzo: TUKO.co.ke
ncG1vNJzZmijmajEorTIpaBnrKWgvG%2BvzmeinmdjZoZ2hZZmn5qsmaKuurGMmqKorJiasm6tzK2cppqVobKiecGipa2hqZp6trLAq5inq5Fir6Ktw5pkspldoMKstdGiZKGZmpa6trvNmmSkr5Fiuqqx2aJkbmaYqbqt