- Mwanamuziki maarufu Avril amekuwa akificha ujauzito wake kwa muda sasa
- Wafuasi wake walikuwa wakimshuku kuwa alikuwa na mimba ila hakuwa amedhibitisha habari hizo
- Hata hivyo, Aril amewashangaza wengi baada ya kuweka picha zake kwenye mitandao ya kijamii zilizomunyesha akiwa mjamzito
Mwanamuziki maarufu Avril aliwasisimua wengi baada ya kuchapisha picha zake kwenye mitandao ya kijamii akiwa mjamzito.
Habari Nyingine: Jamaa apeana mkewe kwa mwenzake kwa wiki moja baada ya kupoteza 'pata potea' ya soka

Avril alikuwa ameweka binafsi maisha yake ila wafuasi wake kwenye mitandao ya kijamii wamekuwa wakibashiri kuwa huenda mrembo huo ni mjamzito.
Habari Nyingine: Binti alalamika baada ya kufukuzwa kanisani kwa "kuvaa vibaya" (picha)
Kulingana na jumbe zake tulizoziona hapa TUKO.co.ke, Avril alikuwa amesema kuwa angetangaza habari za ujauzito wake wakati ufaao na wala sio kulazimishwa na mtu yeyote kufanya hivyo.

" Ningetangaza habari ya ujauzito wangu wakati ufaao,sio kupitia kwa mtu yeyote ila kwangu mimi mwenyewe," Avril alisema.
Inaonekana Avril amemsubiri sana mtoto wake kulingana na jumbe ambazo amekuwa akiandika kwenye mitandao ya kijamii.
Tuma neno ‘NEWS’ kwa 40227 ili kupata habari muhimu pindi zinapochipuka

Habari Nyingine: Gavana Mutua amdhihirishia mkewe kuwa ndiye bora kuliko wote, amwonyesha makuu ya dunia
Kuliibuka tetesi kwamba Avril alikuwa amepachikwa mimba na J Blessing lakini Produsa huyo alikana vikali madai hayo.
Utakumbukwa kuwa Avril alitengana na mpenzi wake kutoka Afrika Kusini kwa madai kuwa hakuwa mwaminifu katika uhusiano wao wa kimapenzi.
Read: ENGLISH VERSION
Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri: mwangi.muraguri@tuko.co.ke
Tazama habari zaidi kutoka TUKO.co.ke
Subscribe to watch new videosChanzo: TUKO.co.ke
ncG1vNJzZmijmajEorTIpaBnrKWgvG%2BvzmeinmdibH5zhZNmmK%2BqmaF6oq%2FHmqeiq5iWerG1wqGYZqOlmbWqrsitoKygkWK1oq7Aq6BmspFiwqut1LOgraddrK6ssY2hq6ak